Wednesday, August 28, 2013

Williams atua kumkabili Cheka

Mpinzani wa bondia Francis Cheka kutoka nchini Marekani Phil Williams ametua nchini tayari kwa pambano hilo litakalofanyika Ijumaa August 30 kwenye ukumbi wa Diamond Jubillee.

Pambano hilo ni la kimataifa kuwania ubingwa wa WBF.
Mgeni rasmi katika pambano,Bondia bingwa wa Dunia wa Uzito wa Juu wa  Zamani, Francois Botha 'White Buffalo' (wa pili kushoto) tayari ametua nchini kushuhudia Cheka na Williams wakiusaka mkanda huo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.