Monday, August 26, 2013

Manchester United vs Chelsea



MATCH FACTS
Head-to-head
  • Msimu uliopita kwenye Premier League, Chelsea walishinda Old Trafford (1-0) na Manchester United walishinda Stamford Bridge (3-2).
  • Katika mechi 42 za Premier League kati ya timu hizo zimewahi kutoka sare ya bila kufungana mara tatu April 1995; December 1998; May 2007).
  • Kati ya mechi hizo 42,United wameshinda mechi 13,Chelsea wameshinda 14.na zimetoka sare mara 15.
  • Mechi iliyozaa mabao mengi zaidi kati ya timu hizo ilikuwa ni zamani wakati huo ikifahamika kama daraja la kwanza United ilishinda 6-5 Stamford Bridge ilikuwa October 1954.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.