Thursday, August 29, 2013

Barcelona taji la 11 na rekodi juu

Barcelona imeshinda taji lake la 11 la Spanish Super Cup na kuweka rekodi katika mchezo uliomalizika kwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya Atletico Madrid huku Lionel Messi akikosa mkwaju wa penati.

Timu hizo katika mchezo wa kwanza walimaliza kwa sare ya kufungana bao 1-1 bao la Barcelona likifungwa na Neymar na lile la Atletico Madrid likifungwa na David Villa.

Ubingwa huo ni wa kwanza kwa kocha mpya wa Barcelona Gerardo Martino Tata.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.