Thursday, August 29, 2013

Suarez kuikabili Manchester United



Mchezaji wa liverpool anayetumikia adhabu ya kufungiwa mechi 10 Luis Suarez anaweza kurejea dimbani kuikabili Manchester United wakati timu hizo zitakapokutana kwenye Capital One Cup.

Suarez alipewa adhabu ya kufungiwa mechi 10 baada ya kumngáta beki wa Chelsea Branislav Ivanovic mwezi April na tayari kwenye msimu uliopita amekosa mechi 4.


Lakini Suarez ataukosa mchezo wa Jumapili hii kati ya timu hizo utakaochezwa Anfield.

Ratiba ya mechi za Capital One zitakazochezwa September 24/25


Manchester United v Liverpool
Sunderland v Peterborough
West Ham v Cardiff
Man City v Wigan
Burnley v Nottingham Forest
Newcastle v Leeds
Southampton v Bristol City
West Brom v Arsenal
Swindon v Chelsea
Tranmere v Stoke
Watford v Norwich
Aston Villa v Tottenham
Hull v Huddersfield
Leicester v Derby
Birmingham v Swansea
Fulham v Everton

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.