Saturday, August 17, 2013

Welbeck amlipa Van Persie,Rooney ahusika


Mashetani Wekundu wa Manchesetr United wameanza kwa ushindi wa kishindo wa mabao 4-1 kwenye ligi kuu ya England mbele ya Swansea huku Robin Van Persie akitupia wavuni mabao mawili na Welbeck akamlipa baada ya kutupia pia mabao mawili na bao la pili likitokana na pasi ya mshambuliaji Wayne Rooney ambaye alianzia benchi.
Team badge of Swansea City
Swansea 1
Bony 82′
Team badge of Manchester United
Man Utd 4
Van Persie 34′, 72′ Welbeck 36′, 90′


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.