Thursday, August 29, 2013

Etoó rasmi wa Chelsea


Chelsea wamemalizana na mshambualiji raia wa Cameroon Samuel Eto'o kwa uhamisho wa bure akitokea Anzhi Makhachkala ya Russia.

Etoo aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja anasema hayakuwa maamuzi magumu kwake,anaujua ubora wa Chelsea na amekuwa na furaha na kocha wa timu hiyo Jose Mourinho kabla ya kujiungaa na timu hiyo,kwahiyo nafasi inapokuja hawezi kuiacha.

Mourinho amemchukua Eto'o baada ya ofa mbili za Chelsea kuchomolewa na Manchester United ili kumnasa mshambuliaji Wayne Rooney.

Eto'o's club honours

Real Mallorca (1999-2004): Copa del Rey (2003). Scored 69 goals in 165 appearances.

Barcelona (2004-2009): Champions League (2006, 2009); La Liga (2005, 2006, 2009); Copa del Rey (2009); Spanish Super Cup (2006, 2007). Scored 129 goals in 201 appearances.

Inter Milan (2009-2011): Champions League (2010); Serie A (2009); Coppa Italia (2010, 2011), Italian Super Cup (2010); Fifa World Club Cup (2010). Scored 53 goals in 101 appearances.

Anzhi Makhachkala (2011-2013): Scored 36 goals in 71 appearances.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.