Tuesday, October 1, 2013

Lukakuuuuuuuu....

Timu ya Everton imeendeleza rekodi yake ya kutofungwa katika msimu huu baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Newcastle katika mchezo wa ligi kuu.

Romelu Lukaku anayecheza kwa mkopo Everton alifunga mabao mawili yaliyoisaidia timu hiyo kuibuka na ushindi uliowafanya kuishusha Chelsea kutoka nafasi ya nne mpaka nafasi ya tano baada ya kufikisha pointi 12.
 

Bao lingine la Everton lilifungwa na Ross Barkley wakati yale ya Newcastle yalifungwa na Yohane Cabaye na Roic Remy.

Kikosi cha Everton kwasasa kipo chini ya Roberto Martinez aliyembadili David Moyes aliyetimkia manchester United.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.