Monday, September 30, 2013

Hii ndio shughuli ya Suarez

Luis Suarez amerejea tena kuitumikia Liverpool katika mchezo ambao waliichapa Sunderland mabao 3-1 huku Suarez akiingia wavuni mara mbili ikiwa ni mara ya kwanza kuichezea klabu hiyo tokea April 21 katika mchezo dhidi ya Chelsea ambapo aliibuka na tukio la kumngáta beki Branislav Ivanovic na kufungiwa mechi 10.

Katika mchezo wa jana amedhihirisha bado yeye ni moto wa kuotea mbali kwa kutupia mabao mawili,na hii ndio shughuli yenyewe huku akishangilia kwa kuonesha picha ya mkewe na mtoto wake Benjamin.
 
 
 
 
 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.