Tuesday, September 17, 2013

DAKIKA 90 za balaa Uefa Champions league

Mshike mshike wa kulisaka taji la Uefa Champions league hatua ya makundi unaanza kutimua vumbi lake leo kwenye viwanja mbalimbali huku mabingwa watetezi Bayern Munich nao wakianza kulitetea taji lake.
Katika mechi za leo Manchester United chini ya David Moyes na Real Madrid chini ya Carlo Ancelotti nazo zipo kibaruani.
 
Galatasaray itakuwa nyumbani ikiwaalika Real Madrid katika mchezo ambao Didier Drogba anakutana na Ancelotti kocha wake wa zamani aliyewahi kuwa naye Chelsea,huku PSG nao wakitupiwa jicho baada ya kufanya kufuru kumnasa mshambuliaji Ednson Cavanni

Match za leo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.