Wednesday, September 25, 2013

Haye,Tyson sasa kuchapana February


Mabondia David Haye na Tyson Fury sasa watashuka ulingoni February 8 huko jijini Manchester.

Wawili hao walipangiwa kucheza Jumamosi lakini Haye amemumia na kushinwa nyuzi sita.

Haye amewaambiwa mashabiki kuwa bado wataona kile wanachohitaji wakatyi akimchakaza Tyson kwa style ya aina yake.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.