Wednesday, July 24, 2013

Kidiaba ndio habari

Unapomzungumzia golikipa wa TP Mazembe ya Congo DRC Robert Muteba Kidiaba,utakachosikia ni kuhusu style yake ya kuruka kwa kutumia makalio wakati Tp Mazembe inapotupia wavuni.

Style hiyo imekuwa maarufu sana duniani na imekuwa ikiigwa na wengi sana kwasababu ni ya kipekee na haijawahi kushangiliwa na yeyote mpaka ilipobuniwa na Kidiaba mwenyewe na sasa imekuwa habari ya dunia,hebu twende sawa hapa uone mambo yake na yanavyoigwa duniani,hakika hii ndio brand ya Kidiaba.

 Kidiaba anafanya yake baada ya Mazembe kutumbukia wavuni...
 
 Hata hawa nao wameipendaaa
 Na mimi wacha nijaribu nimeipendajeee
 Carlos Alberto naye hajapitwa
Hata huko Congo ni maarufu mpaka kwenye mabango

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.