Monday, July 29, 2013

Bale aitamani Madrid,Spurs wanaendelea kubana

 
Mwenyekiti wa Spurs Daniel Levy bado anaweka ngumu kuwa Gareth Bale hauzwi licha ya mshambuliaji huyo wa Wales kuonesha anataka kuzungumza na Real Madrid.

Real Madrid wameongeza nia yao ya kumuhitaji lakini Spurs wamechomoa kumuuza Bale hata kwa dau linalowezekana kuweka rekodi ya dunia ya paundi milioni 85.


Real hata hivyo bado hawajawasilisha ofa kimaandishi lakini Bale mwenyewe anataka kutimiza ndoto yake ya kucheza kwa miamba hiyo ya Bernabeu huku mkataba wake ukiwa umebaki miaka mitatu.

Data za Bale msimu kwa msimu EPL

  • 2012-13: Played 33, scored 21, assisted 4
  • 2011-12: Played 36, scored 9, assisted 10
  • 2010-11: Played 30, scored 7, assisted 1
  • 2009-10: Played 23, scored 3, assisted 5
  • 2008-09: Played 16, scored 0, assisted 0
  • 2007-08: Played 8, scored 2, assisted 0

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.