Tuesday, November 26, 2013

Uefa Champions League mzigoni

Ligi ya mabingwa barani Ulaya hatua ya makundi inaendelea leo kuisaka tiketi ya kuelekea kwenye hatua ya mtoano.

Arsenal waliokaa kwenye kundi la mtego watakuwa na kibarua cha kutaka kufanya vizuri ili kujiweka mguu sawa na hatua ya mtoano huku Chelsea nayo ikihitaji matokeo mazuri dhidi ya mbaya wao aliyewafunga kwenye mchezo wa kwanza.

FC Barcelona nao wako mzigoni kama ilivyo kwa Dortmund na Napoli na AC Milan pia dhidi ya Celtic


Mechi za leo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.