Wednesday, November 27, 2013

Kipigo chaipa Chelsea tiketi ya kusonga mbele,yaendelea kuongoza kundi E

Licha ya kukutana na kipigo cha bao 1-0 kuitoka kwa FC Basel ya Uswis,wazee wa darajani Chelsea wamefuzu hatua ya mtoano ya Champions League.

Hata hivyo kipigo hicho kinawafanya Chelsea kuwa wateja wa FC Basel ambao katika mchezo wa kwanza walipata ushindi wa mabao 2-1 Stamford Bridge huku Mohamed Salah akiwa ni mchezaji aliyefanikiwa kufunga kwenye mechi zote hizo mbili.

Hatua ya Chelsea kufuzu inatokana na Schalke kutoka sare na Steaua Bucharest ya Romania na hivyo kuendelea kuongoza kundi E.


Group E

Pld GD Pts
Chelsea
             5
              8
              9
Schalke
             5
              1
              8
Basel
             5
             -2
              7
Steaua Bucharest
             5
             -7
              3

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.