Monday, March 31, 2014

SONY OPEN : Djokovic amtesa Nadal

Mchezaji namba mbili kwa ubora duniani Novak Djokovic amemtesa mchezaji namba moja kwa ubora duniani katika tennis Rafael Nadal na kuchukua ubingwa wa Sony Open huko Miami.

Djokovic raia wa Serbia, 26,ameshinda kwa 6-3 6-3 na kunyakua kwa mara ya nne taji hilo na kumfanya kuwa juu ya Pete Sampras na mataji mawili nyuma ya Andre Agassi kwa wale waliochukua taji hilo mara nyingi zaidi.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.