Wednesday, March 26, 2014

Moyes ajitwika zigo la lawama United


Boss wa Manchester United David Moyes amejitwika zigo la lawama kwa jahazi la timu hiyo kuzama ikiwa ni baada ya kipigo kingine kutoka kwa Manchester City.

Mabingwa hao watetezi wapo nafasi ya 7 ikiwa ni pointi 18 nyuma ya vinara Chelsea.

Moyes amesema yeye ndiye anachagua timu analazimika kubeba zigo la uwajibikaji japo inakatisha tamaa.


United dhidi ya Top five za Premier League
  • Chelsea: 0-0 draw (home); 3-1 defeat (away)
  • Man City: 4-1 defeat (away); 3-0 defeat (home)
  • Liverpool: 1-0 defeat (away); 3-0 defeat (home)
  • Arsenal: 1-0 win (home); 0-0 draw (away)
  • Everton: 1-0 defeat (home); away fixture 20 April

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.