Thursday, March 27, 2014

Real Madrid majanga tu

Timu ya Sevilla imeiweka njia panda Real Madrid kutwaa ubingwa msimu huu baada ya kuwapa kichapo cha mabao 2-1 kwenye mchezo uliopigwa jana usiku hiyo ikiwafanya Madrid kuumiza vichwa cha kufanya.

Sasa wamebaki na mlima wa kupanda kama wanataka kuupata ubingwa huku wakiomba mabaya kwa vinara Atletico Madrid ambao wana pointi 73 na Barcelona wanaokamata nafasi ya pili wakiwa na pointi 72.

Mechi zilizobaki za Real Madrid

  • 29 March v Rayo Vallecano (h)
  • 5 April v Real Sociedad (a)
  • 12 April v Almeria (h)
  • 27 April v Osasuna (h)
  • 4 May v Valencia (h)
  • 7 May v Real Valladolid (a)
  • 11 May v Celta de Vigo (h)
  • 18 May v Espanyol (h)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.