Monday, December 16, 2013

Azam FC yafukuza mwizi kimya kimya

Timu ya Azam FC ni kama in afukuza mwizi kimya kimya wakiwa tayari wameanza kujifua kwa mzunguko wa pili wa ligi kuu soka Tanzania bara.

Azam wanaendelea kujifua chini ya makocha Kally Ongala na Ibrahim Shikanda wakifuata programme iliyoachwa na kocha wao Joseph Omog aliyesaini mkataba hivi karibuni wa kuitumikia timu hiyo akichukua mikoba ya Sterwat John Hall.

Mzunguko wa kwanza wamemaliza wakiwa katika nafasi ya pili nyuma ya vinara Yanga Africa.
 
Kipre na Aggrey

Picha kwa hisani ya Azam FC

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.