Wednesday, December 18, 2013

Mourinho awabwatukia washambuliaji wake,amuangushia zigo Torres


Boss wa Chelsea Jose Mourinho amepoteza imani kwa washambuliaji wa timu hiyo ambao wamepoteza makali ya kutumbukia wavuni.

Mourinho anasema kwasasa kwenye timu yake hana muuaji anayeweza kufikisha mabao 25 baada ya kupoteza uwezo wao wa kutumbukia wavuni.

Mourinho hakusita kumwangushia zigo Fernando Torres akisema si Yule ambaye anafahamika akiwapa shida mabeki wa timu pinzani uwezo ambao kwasasa umepotea.

Wafungaji wa Chelsea mpaka sasa,michezo waliyocheza na mabao yao
  • Fernando Torres (17 games, 6 goals this season)
  • Demba Ba (13, three)
  • Samuel Eto'o (15, 4)
  • Eden Hazard (21, 8)
  • Juan Mata (15, one)
  • Oscar (21, six)
  • Andre Schurrle (18, three)
  • Kevin De Bruyne (eight, none)
  • Willian (14, one)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.