Monday, December 23, 2013

Adebayor amzodoa Villas Boas


Mshambuliaji Emmanuel Adebayor ameendelea kumzodoa kwa kumuweka benchi aliyekuwa kocha wa Tottenham Andre Villas Boas aliyetimuliwa kazi.

Adebayor ameanza kupata nafasi ya kucheza katika kikosi hicho tokea kuondoka kwa AVB na katika mechi zote alicheza baada ya kuondoka kocha huyo ametumbukia wavuni.
Katika mchezo wa jana wa ligi kuu Adebayor ametumbukia wavuni mara mbili na kuisaidia Tottenham kuichapa Southampton wakiwa chini ya kocha Tim Sherwood.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.