Friday, June 13, 2014

Mambo ya kombe la dunia

Mwezi mzima akili za mashabiki wa soka zitakuwa huko nchini Brazil kwenye fainali za kombe la dunia wakati miamba 32 itakaposhuka dimbani kulisaka taji hilo.

Ufunguzi tayari umefanyika na sasa ni kitu juu ya kitu.
 
 
 


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.