Tuesday, May 20, 2014

Chokoraa aweka muziki pembeni ageukia masumbwi,kushuka ulingoni May 24

Mwanamuziki na kiongozi wa bendi ya Mapacha watatu Khalid chokoraa anategemea kupanda ulingoni Jumamosi May 24 katika ukumbi wa friends corner kuzipiga na bondia chipukizi Abdul Manyenza.

Chokoraa amesema muda mrefu amekuwa akifanya mazoezi ya kujenga mwili na ya ngumi huku akipigana na mabondia mbalimbali mazoezini kiasi cha kujiona ana uwezo wa kupanda ulingoni.

Amesema sasa ni nafasi ya kuonesha kipaji kingine mbali na muziki.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.