Tuesday, February 25, 2014

Mayweather ulingoni na Maidana

Bingwa wa dunia wa WBC uzito wa welter Floyd Mayweather atashuka ulingoni kupigana na bingwa wa WBA Marcos Maidana pambano litakalofanyika May 3.

Mayweather, 37,mwenye rekodi ya kutopoteza pambano aliuliza mashabiki kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kuchagua apigane na bondia gani kati ya Amir Khan na Maidana.

Kutokana na kura za mashabiki sasa atapigana na Maidana mwenye miaka 30 raia wa Argentina.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.