Thursday, April 10, 2014

Ruvu Shooting vs Azam Fc leo hatoki mtu..hali ya hewa inaruhusu


Timu ya Ruvu shooting ya Pwani inawakaribisha vinara wa ligi kuu Azam FC  kwenye mchezo uliohairishwa jana kufuatia uwanja wa Mabatini Mlandizi kujaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha.

Mchezo huo sasa unalazimika kuchezwa leo kutegemea hali ya hewa itakavyokuwa na hali ya uwanja kuweza kutumika kwa mchezo huo.

Mpaka muda huu hali ya hewa inaoneaka kuruhusu kupigwa kwa mchezo huo kwakuwa kijua kinapiga na maji yameondoka.

Tatizo hilo la uwanja wa Mabatini pia hulikumba viwanja kadhaa wakati mvua inaponyesha,shuka na picha zinajieleza.

uwanja wa Kaunda
Uwanja wa Jamhuri Dodoma
 
Uwanja wa Uhuru



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.