Tuesday, November 25, 2014

Mpenzi wa Sanchez atishia kiwango cha nyota huyo,kisa uhitaji wa ngono kwa sana


NYOTA wa Arsenal Alexis Sanchez anaweza kuwa mchovu mapema akiwa na Arsenal ikiwa ni matokeo ya soka la kupitiliza na kufanya mapenzi kwa sana kwa mujibu wa taarifa kutoka nyumbani kwao Chile.

Inaelezwa uchovu huo unatokana na ratiba inayofululiza ya mechi za Arsenal na Timu ya taifa ambayo pia inafanywa kuwa mbaya Zaidi na uhitaji mkubwa wa mapenzi kutoka kwa mpenzi wake Laia Grassi anaporudi nyumbani.
Hata hivyo mpaka sasa kutokuwa na mipaka ya ufanyaji mapenzi na kwenye soka haijaonesha kuathiri kiwango cha Sanchez mwenye miaka 25 akiwa ni mmoja wa wachezaji hatari hata kwenye mchezo uliopita ambao Arsenal walifungwa mabao 2-0 na Manchester United weekend iliyopita alionekana kuwa mwiba zaidi.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.