Tuesday, September 30, 2014

MATOKEO MABOVU : Kocha wa Newcastle ajisalimisha kwa mmiliki

Meneja wa Newcastle Alan Pardew anatarajia kuwa na mazungumzo ya kina na mmiliki wa timu hiyo Mike Ashley baada ya kichapo cha jana cha bao 1-0 dhidi ya Stoke City.

Ashley alikuwepo kwenye uwanja wa Britannia akiitazama timu yake ikizamishwa kwa bao la Peter Crouch na kuiacha timu hiyo ikikamata nafasi ya pili kutoka mkiani.

Mashabiki wa klabu hiyo wameendelea kumbebea mabango wakitaka atimuliwe kazi.
 



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.