Monday, September 22, 2014

Azarenka nje msimu mzima


Victoria Azarenka atakosa sehemu ya msimu iliyobakia kwasababu ya kuumia mguu.

Bingwa huyo mara mbili wa Australian Open tayari amekosa miezi mitano ya mwaka huu 2014 na ameanguka mpaka nafasi ya 25 katika ubora wa viwango vya mchezo wa Tennis kwa wanawake kutokea nafasi ya pili.

Azarenka, 25,alifika kwenye hatua ya robo fainali ya US Open mapema mwezi huu na alikuwa arudi kwenye kwenye michuano ya Wuhan Open huko China.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.