Monday, September 22, 2014

FORMULA1 : Hamilton hawazi ubingwa kabisaaaa


DEREVA wa Mercedes Lewis Hamilton amesisitiza ubingwa wa dunia hauko akilini mwake licha ya kuongoza kwa mara ya kwanza ndani ya miezi minne.

Hamilton amesema hafikirii kuhusu ubingwa akisema bado anajihisi yupo mawindoni.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.