Wednesday, October 22, 2014

Usiku wa rekodi Champions league,Mechi 8 goli 40



Shakhtar Donetsk wamepata ushindi wa rekodi ya ushindi mkubwa ugenini katika champions league wakiichapa Bate Borisov mabao 7-0 katika usiku ulioweka rekodi ya kufungwa mabao 40 kwa usiku mmoja.

Ni mabao mengi kufungwa katika usiku mmoja katika mechi nane ingawa imewahi kutokea kufungwa mabao 44 mwaka 1997 lakini ilihusisha mechi 12 kuchezwa katika usiku huo.

Shakhtar wamepata ushindi kama ambao waliwahi kuupata Olympic Marseille dhidi ya MSK Zilina mwaka 2010 huku mshambuliaji Luiz Adriano akifunga mabao matano akifikisha rekodi sawa na Lionel Messi kufunga idadi hiyo katika mchezo mmoja.

Katika mechi nyingine zilizochezwa jana usiku.
Rekodi za ushindi mkubwa Champions 
Result
Year
8-0 Liverpool FC v Besiktas
November 2007
7-0 Juventus v Olympiakos
December 2003
7-0 Arsenal FC v Slavia Prague
October 2007
0-7 MSK Zilina v Marseille
November 2010
7-0 Valencia v KRC Genk
November 2011
7-0 Bayern Munich v Basel
March 2012
0-7 Bate Borisov v Shakhtar Donetsk
October 2014

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.